Bwana na Bi harusi wakiingia ukumbini Blue Pearl Hotel Ubungo Plaza Jijini baada ya kumaliza ukimya kwa kiapo kilichofanyikia kanisa la mtakatifu Joseph DSM
Wanafamilia Wapya wakiwa kwenye Picha ya Pamoja na wapambe wao..
Mvinyo Usio na Kilevi Ulitandazwa kwa kila mlaji Ufunguaji ukianzia meza kuu
Wadau Esthomii na Grace ambao ni wafanyakazi wenza na Thea nao wakiiitikia mwito wa heshima ya kimiminika ninachofunguliwa na wanandoa wapya...
Mdau Judie alibahatika kufungua shampagne
huku Grace akihofu itammwagikia
Baada ya Hapo Mnuso na Sebene Vikawa Mwake.
Picha zote na Zombi wa Blog ya mwanachuo
Kuna Maoni 0 mpaka sasa.
Toa Maoni Yako Kwa Uhuru