In order to view this object you need Flash Player 9+ support!

Get Adobe Flash player


Utamu wa Shule, Ladha ya Degree.
Vyuoni Tanzania Blog is an open discussion blog. This blog is NOT owned, affiliated or operated by Tanzania Commission For Universities.

Itangaze Blog Hii Kupitia

Twitter Delicious Facebook Digg Stumbleupon

Friday, April 22, 2011

EASTER MESSAGE.......

Thursday, April 21, 2011

Wanafunzi wa Udom waandamana, wagoma




Haya ni baadhi ya matukio ya mgomo uliopita ambapo ilibidi waziri Mkuu Mh. Mizengo Pinda aingilie kati kutatua mgomo huo uliohusisha wanafunzi na wahadhiri: Picha kwa hisani ya http://dullonet.com
WANAFUNZI wa Chuo Kikuu cha Dodoma (Udom), wamegoma kuingia madarasani na kuandamana hadi Ofisi ya Waziri Mkuu mjini hapa, kupeleka malalamiko yao likiwamo la Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, kutotimiza ahadi ya kuwapatia kompyuta.

Licha ya mambo mengine, wanafunzi hao wa Chuo cha Teknolojia ya Habari, walisema Pinda aliwaahidi kumnunulia kila mwanafunzi kompyuta ndogo (laptop) kwa ajili ya kumsaidia kwenye masomo yake, lakini hadi jana ilikuwa haijatimizwa.

“Tumeamua kugoma na kuandamana kutokana na ukweli kuwa, matatizo yetu yamekuwa hayapatiwi ufumbuzi tangu mwaka 2007. Menejimenti ya chuo haitaki kutusikiliza na imekula fedha zetu za mahitaji maalum ya kitivo,” alisema Spika wa Bunge la Wanafunzi, Elias Lugwishwa na kuongeza:
“Bodi ya mikopo wanatoa, lakini menejimenti hawataki kutupatia.
Tunasoma sayansi ya kompyuta bila kuwa na kompyuta za kotosha kwa ajili ya mazoezi, hiyo ni elimu au ni uchakachuaji.”
Wanafunzi hao walisema menejimenti ya chuo imekuwa ikitafuna fedha zao za mahitaji maalumu, huku ikitoa vitisho kwa wanaoonekana kuzidai.

Walisema waliamua kuweka wazi kwa menejimenti ya chuo kuwa, watafikisha kilio chao kwa Pinda, ndipo juzi usiku waliambiwa fedha zao zipo tayari na kutakiwa kuangalia majina kwenye mbao za matangazo.
Walisema baada ya kwenda kusoma majina yao, walikuta kiasi kilichoanishwa ni Sh50,000, kiwango ambacho hawakubaliani nacho.

“Siasa, siasa, hatutaki. Tunataka muda maalum wa matatizo yetu yatatatuliwe. Tuhakikishiwe usalama wetu tuwapo chuoni, hatuwezi kutishiwa kila tunapodai haki zetu, wewe mkuu wa wilaya nenda kaongee na manejimenti ya chuo iache kututisha, itusikilize haja zetu,” zilisikika sauti za wanafunzi hao walipokuwa wakiimba.

Hata hivyo, wanafunzi hao hawakufanikiwa kuonana na Pinda, badala yake, Kaimu Mkuu wa Wilaya ya Dodoma Mjini, Gerald Guninita, aliwatuliza na kuwaeleza kuwa matakwa na matizo yao ameyasikiliza, amewasiliana na Waziri Mkuu kupitia katibu wake na kumweleza kuwa hadi Mei 6, mwaka huu yatakuwa yamefanyiwa kazi

Source: Mwananchi Aprili 21-2011

Wednesday, April 20, 2011

PROF. MSHORO MWENYEKITI MPYA TIRDO


Prof. Idrissa B. Mshoro
Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Prof. Idrissa B. Mshoro kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Utafiti na Maendeleo ya Viwanda (TIRDO) kwa kipindi cha miaka mitatu kuanzia tarehe 01 aprili, 2011. Prof. Mshoro ni Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Ardhi wadhifa alioupata tangu mwezi Septemba, 2007 akitokea Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kama Mhadhiri.
Wajumbe wengine walioteuliwa ni Bwana Bernard Mchomvu- Afisa Mtendaji Mkuu wa Millennium Challenge Account, Tanzania, Bwana Ali Rajab Mohamed -Mkurugenzi, Wizara ya Mawasiliano,Sayansi na Teknolojia, Bibi Suzy Lazier- Mkurugenzi, Tanzania Food Processors Association, Bibi Eline Sikazwe- Mkurugenzi, Idara ya Maendeleo ya Viwanda pamoja na Dkt Asifa Nanyaro-Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Utafiti na Maendeleo ya Viwanda Tanzania.
Soma Zaidi  MICHUZI Blog

Varsities Advised to Develop People-Centred ICT Systems

Universities in the country have been challenged to embrace and develop customized information and communication technology (ICT)-based systems tailored to meet the needs of the people.
The challenge was thrown by deputy minister for Communications, Science and Technology Charles Kitwanga at the inauguration of an exhibition week hosted by the College of Information and Communications Technologies (CoICT) in marking the golden jubilee of the University of Dar es Salaam.
He said the inauguration of the ICT College should usher in a new beginning in ICT training, research and innovations to produce competent human resources and job creators and not job seekers because that was the main aim of any university.
“It is expected that the graduating candidates from this college will come out of the university well-equipped with skills and expertise that will enable them to engage in direct professional employment or be creators of IT employment for others” he said.
Citing examples from the tiger ecomies in South Asia, the minister said ICT had helped countries with very limited natural resources like Singapore, Malaysia and South Korea to efficiently utilize their human resources in creating something from nothing.
However, computerized systems in most of the countrys' offices and activities have largely helped in effectively running the governments at low costs, he added.
“Brazil, China, India and South Africa are among the developing countries of our level that have put efforts in ICT research in solving the energy problem by stimulating studies of alternative energy sources that can be integrated in a smart power grid,” he said. He said the government was ready to provide moral and material supports to the college, adding that it had already set up funds for research in ICT.
Earlier, acting principal of the college Prof. Justinian Ikingura said inauguration of the college had come at the right time because it would indulge seriously in new and emerging technologies.
“The college will serve as an ICT hub for research, technology incubation and product development by forging close links and collaboration with internal partners and local industries,” he said.

By Gerald Kitabu
20th April 2011
SOURCE: THE GUARDIAN

Corporate Executives to Inspire University Students on Campus; what works in the real world

Recognizing the need to prepare Tanzanian graduates to successfully compete at the job market and to inspire them to create new jobs as entrepreneurs when they graduate, the East Africa Speakers Bureau (EASB) in partnership with Vodacom Tanzania will run a series of motivational talk sessions on campus featuring Tanzania’s most experienced corporate executives as guest speakers.
The program intends to enable university students gain insight on various issues pertaining to leadership, career and entrepreneurship. About 15 Universities and colleges are expected to benefit from the program including: the University of Dar es Salaam, School of Journalism and Mass Communication (IJMC), Kampala International University (KIU), Institute of Social Work (ISW), Institute of Finance Management (IFM), College of Business Education (CBE), Ardhi University, Muhimbili University of Health and Allied Sciences, Mzumbe University (Morogoro Campus), Tumaini University (Dar es salaam Campus), Dodoma University, St. Augustine University (SAUT) Mwanza.
This is one of the private sector led human capital development initiative to nurture positive attitudes, inspire ambition and enhance workplace and entrepreneurial skills to Tanzanian graduates through experiences shared by leading corporate personalities in Tanzania on what works in the real world. Most of the selected themes focus on personal development and life skills including mind-set change, attitude, vision and value systems which are pivotal for graduates to achieve their grand visions.
The program schedule released by EASB recently indicates that the program launch will be held at the School of Journalism and Mass Communication on 29th April 2011 and will feature in Mr. Charles Washoma, a distinguished executive who will discuss the essence of Leadership with Moral Authority and Mr. Innocent Mungy, Manager, Corporate Communications, Tanzania Communication Regulatory Authority (TCRA) on What Works in the Real World.
During the events, students will have an opportunity to ask questions and participate in the quiz competition to win numerous prizes including modems, T-shirts and Caps. This initiative has been sponsored by EASB and Vodacom. For mode details please email jill.muro@eastafricaspeakers.net or call +255 22 2700051.

Friday, April 15, 2011

WABONGO WAISHIO ROMA KIJIMWAGA UNIONI DAY


ADMISSION CORESPONDENCES

Tanzania Commission for Universities (TCU)
P.O. Box 6562, Dar es Salaam, Tanzania
Tel. +255-22-2772657
        +255 22 2772869;
Fax +255-22-2772891
  Website: www.tcu.go.tz
     Hotline Numbers:  0759 539987,
0759 537659, 0714 582742, 0783 600424 and    0773 971363

Tuesday, April 12, 2011

TCU: UDAHILI VYUO VIKUU KWA MWAKA WA MASOMO 2011/2012 UMEANZA

Mwombaji anapaswa ajidahili kwa kutumia Simu ya mkononi yenye kutumia mtandao wa Vodacom tuu kwani mitandao mingine haina mkataba na TCU

 Baada ya hapo mwombaji anunue vocha ya malipo, Zinapatikana CRDB Bank matawi yote nchi nzima kasoro tawi la Mlimani City, PPF na Kariakoo.

Kisha awe anafahamu namba zake za mitihani ya kidacho cha Nne na cha Sita
angalizo Muhimu ni kuwa mwombaji akishafanikiwa kijidahili asibadili namba yake ya simu au anwani yake ya barua pepe kwani mawasiliano yeyote na TCU yatakurudia kupitia anwani hizo ambao zitakuwa zimehifadhiwa kama kumbukumbu muhimu za waombaji.

Muhitimu akiperuzi kwenye mtandao kw maandalizi ya kujidahili Chuo kinanukia

Tunapenda kuwatangazia Wanaopenda Kujiunga na Vyuo Vikuu au Taasisi za Elimu ya Juu Hapa Nchini Kuwa Tumefungua Mfumo wa Pamoja wa Udahili “Central Admission System” Kwa mwaka wa Masomo 2011/2012

·        Wenye sifa Kujidahili na mfumo ni waliomaliza kidato cha Sita tangu mwaka 1988 na kuendelea

·        Waombaji Waliomaliza kidacho cha Sita Mwaka Huu 2011 Wataanza kujidahili punde tuu maokeo yao yatakapotoka.
·        Waombaji Waliomaliza Vidato Vya  Sita nchi tofauti na Tanzania wataanza kujidahili kuanzia tarehe 30 Aprili Mwaka huu 2011 ambapo watapaswa kulipia shilling Elfu Sitini (60,000) kupitia TCU CAS Acc. No. 01J1026795702) the swift code: CORU TZ Branch code: 3314

·        Waombaji wanapaswa wajidahili kupitia Internet kwenye tovuti ya Tume ya Vyuo Vikuu http://www.tcu.go.tz/ au kwa simu za kiganjani ambazo nizatumia mtandao wa vodacom tuu, Mitandao mingine haihusiki.
·        Waombaji wa ndani wanapaswa walipie Shilingi Elfu Thelathini tuu (30,000) kwa njia ya Vocha zinazopatikana kwenye matawi ya CRDB Bank nchi nzima kasoro matawi ya Mlimani City, Kariakoo na PPF Tower yaliyopo Dar es Salaa.

·        Maelezo ya Namna ya kujisajili kwa njia Zote Mbili (Internet na SMS) yanapatikana kwenye kitabu cha Mwongozo wa mwombaji kinachopatikana kwenye Mtandao wa TCU au kwenye Maktaba za mikoa yote na haviuzwi.

·        Mwombaji akifanikiwa kujidahili anapaswa atunze Kumbukumbu zake Bila kuzisahau au kumpa mtu mwingine, hii ni Pamoja na kutunza namba ya simu au barua Pepe aliyotumia kujidahili  Ikiwa ni pamoja na Jina la utumaji “User name”

Imetolewa na Katibu Mtendaji
Tume ya vyuo Vikuu (TCU), Dar es Salaam

BLOG Hii ITAWEKA MTIRIRIKO WOOTE WA NAMNA YA KUJIDAHILI HIVI PUNDE Endela kutufatilia

By Mwanachuotz

PROF. MAYUNGA H.H. NKUNYA AAGWA RASMI..


Baada ya kufanya kazi kama katibu Mtendaji kwa miaka mitatu, hatimaye Prof. Mayunga Nkunya ameagwa rasmi kwenye sherehe iliyofanyikia katika ukumbi wa Hoteli ya Blue Pearl Ubungo Plaza. 
 Mgeni rasmi katika sherehe hiyo alikuwa Waziri wa Elimu na Mafuzo ya Ufundi Dr. Shukuru Kawambwa.

 Prof. Mayunga H.H Nyunya
Muagwa Prof. Mayunga Nkuya akiwashukuru kwanza Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Dr. Shukuru Kawambwa, Mwenyekiti wa umoja wa wakuu wa vyuo Vikuu (CVCPT) Prof. Idris Mshoro na Wafanyakazi wa Tume ya Vyuo vikuu (TCU) kwa ushirikiano wao ambao bila kuwepo hayo TCU isingepiga hatua kubwa hivyo kimaendeleo.
Prof. Nkunya amemaliza muda wake TCU na sasa anaenda kuwa katibu mtendaji wa Baraza la Umoja wa Vyuo Vikuu vya Jumuiya ya Africa Mashariki (IUCEA) ambayo makao yake makuu yako Kampala Uganda.



 Mwenyekiti wa Tume ya Vyuo Vikuu Prof. Awadhi Mawenya alikuwepo nae akatoa nasaha zake kama Baba na Mlezi wa Tume

 Mwenyekiti wa Umoja wa Wakuu wa vyuo vikuu hapa Nchini Prof. Idris Mshoro alipata nafasi ya kuwawakilisha makamu wakuu wenzake kwa nasaha na shukrani


 Hapa ni wakati sherehe zikiendelea Mgeni rasmi anaonekana kuvutiwa na MC (hayupo Pichani)


 Ukafika wakati wa kumzawadia muagwa ambaye alikuwa na Mke wake mama Nkunya. Mgeni Rasmi Dr. Shukuru Kawambwa anamkabidhi Prof. Nkuya zawadi iliyoandaliwa na wafanyakazi wa TCU


 Ikawa ni pamoja na pongezi na mikono ya kutakiana kila la kheri kwa kazi na mwanzo wa kuanza majukumu mapya huko IUCEA- Kampala Uganda


 Ukafika wakati wa Mnuso, Wafanyakazi na wgeni waalikwa walijichotea kinamna hii...


 Prof. Njozi wa Makamu Mkuu wa Chuo cha Muslimu University ya Morogoro (MUM) akibadilishana mawazo na Prof. Yunus Mgaya aliyemwakilisha Makamu mkuu wa chuo cha Dar es Salaam (UDSM)


Baada ya hapo wadau wakajimwaga kusakata sebene kama hivi; Mama Nkuya akijimwaya na baadhi ya wafanyakazi wa tume.

Posted by Mwanachuotz

Monday, April 11, 2011

ADMISSION TO VARIOUS PROGRAMMES OFFERED BY SUZA

 THE STATE UNIVERSITY OF ZANZIBAR (SUZA)



1.0       Preamble

1.1       The State University of Zanzibar (SUZA) invites prospective applicants to apply
for admission to various programmes tenable at SUZA for the academic year 2011/2012. The programmes are as follows:

·         Bachelor of Arts with Education
·         Bachelor of Science with Education
·         Bachelor of Science in Computer Science
·         Diploma in Computer Science
·         Diploma in Languages with Education
·         Diploma in Science with Education
·         Certificate in Computer Science
           
2.0       Bachelor of Arts with Education  
2.1       Entry Requirements

                        (i)         The applicant should possess a Certificate of Secondary Education
                                    Examination (CSEE) with not less than five (5) passes, three (3) of
                                    Which must not be below ‘C’ credit in relevant subjects?

(ii)        The applicant should also possess an Advanced Certificate of  Secondary Education Examination (ACSEE) with at least two (2) principal passes in appropriate subjects of not less than 4.5 points excluding Religious studies (those with higher scores will be given priority).

(iii)       Holders of appropriate diplomas of not less than Second Class level but should be approved by the Senate of the University (SUZA), National Examinations Council of Tanzania (NECTA) or the National Council for Technical Education (NACTE).

            3.0       Bachelor of Science with Education 
            3.1       Entry Requirements

                        (i)         The applicant should possess a Certificate of Secondary Education                                     Examination (CSEE) with not less than three (3) passes of not                                                         below ‘C’ credit in relevant subjects (Science subjects).                       
(ii)        The applicant should also possess an Advanced Certificate of           Secondary Education Examination (ACSEE) with at least two (2) principal passes in appropriate subjects of not less than 2 points (those with higher scores will be given priority).
(iii)     Holders of relevant diplomas of not less than Second Class level  but should be approved by the Senate of the University (SUZA), National Examinations Council of Tanzania             (NECTA) or the National Council for Technical Education (NACTE).

            4.0       Bachelor of Science in Computer Science  
            4.1       Entry Requirements

                        (i)         The applicant should possess a Certificate of Secondary Education                                     Examination (CSEE) with not less than four (4) passes in relevant  subjects.  Subjects required are Mathematics, Physics, Chemistry (and other Science subjects), Geography and English. Obtaining a                                            pass in Mathematics is compulsory.

(ii)        The applicant should also possess an Advanced Certificate of Secondary Education Examination (ACSEE) with at least two (2) principal passes in appropriate subjects of grade C or above. One of the subjects should be Mathematics.  (those with higher scores will be given priority).
(iii)             Holders of Diploma in Information Technology of not less than Second Class level (not below GPA 3.0 or average ‘B’) and must have passed Mathematics in a diploma level. The diploma should be approved by the Senate of the University (SUZA), the National Examinations Council of Tanzania (NECTA) or the National Council for Technical Education (NACTE).
5.0      Diploma in Computer Science
5.1      Entry Requirements
                          i .     The applicant should possess a Certificate of Secondary Education                                       Examination (CSEE) with not less than four (4) passes in relevant                                       subjects. Subjects required are Mathematics, Physics, Chemistry
(and other Science subjects), Geography and English. Obtaining a
pass in Mathematics is compulsory. AND
            .                  The applicant should possess one of the following combinations of passes in the Advanced Certificate of Secondary Education Examination (ACSEE), or the East African Certificate of Education (‘A’ level) or equivalent:-
·         One principal level pass in Mathematics, Physics, Computer Studies, Chemistry, Economics, Commerce or Accountancy, and a subsidiary pass in any of these subjects (E & S). OR
·         Advanced Certificate of Secondary Education Examination (ACSEE) with two subsidiaries in the subjects listed above plus at least two (2) years of industrial experience in computer application.
·         A relevant Accredited Certificate in Computer Science of not less than Second Class, credit or equivalent.
6.0      Diploma in Languages with Education
6.1      Entry Requirements
                        i.   At least three credit passes at the Certificate of Secondary                                             Education Examination (CSEE), two of which must be in   Kiswahili and English. OR
ii.                      A credit in Kiswahili and a ‘D’ in English and two credit passes in any other subjects. OR

iii.                    A credit in English and a ‘D’ in Kiswahili and two credit passes in any other subjects. OR
iv.                    Passes at the Advanced Certificate of Secondary Education Examination (ACSEE) qualifying for at least Division Four.

7.0       Certificate in Computer Science
7.1       Entry Requirements                      
  i.         The applicant should possess a Certificate of Secondary Education                                     Examination (CSEE) with passes in at least four approved subjects such as Physics, Chemistry (or other science subjects), Geography,
English and Commercial subjects. Basic Mathematics is
compulsory OR
ii.                                       A renowned Certificate in Information Technology (IT) from a  recognized Institution with an average GPA of at least 3.0  provided Mathematics was taken as a course in that certificate programme.
8.0         Diploma in Science with Education
8.1         Entry Requirements:
     
                 Application for this six semesters programme must meet one of the
following criteria:
a)      Have at least TWO subsidiary passes in Science subjects in their Advance Certificates of Secondary Education Examinations (ACSEE).
b)      Have THREE credit passes in Science subjects in their certificates of Secondary Education Examinations (CSEE)
c)      Be qualified Grade IIIA Science teacher with at least TWO passes in Science subjects and not less than THREE years of teaching experience.
d)     Have obtained Full Technician Certificate (FTC).

9.0       Passes in ‘A’ level are based in the following scale:-
A = 5,    B = 4,    C = 3,    D = 2,    E = 1,    S = 0.5,    F = 0

10.0     Degree programmes, Diploma in Science with Education and a Diploma in Languages with Education programmes cover three years (six semesters) while Diploma in Computer Science covers two years (four semesters) and a Certificate in Computer Science programme covers only one year (two semesters).

11.0     Mode of Application
11.1     Application forms are obtained from Monday to Friday at the Registry
Office (MASJALA) of the State University of Zanzibar (SUZA), Main
Campus,
Vuga Road
. Residents of Pemba, forms are available at SUZA
Office in the Building of the Ministry of Education and Vocational
Training, neighboring to Chake Chake Hospital.

11.1.1  Application forms can also be downloaded from the website:                                               
http://www.suza.ac.tz , these will only be considered if accompanied
 with the receipt for the below mentioned fees on return.

11.2     Degree programmes applicants are required to pay a non-refundable application fee of Tsh. 30,000/- while the applicants for Diplomas are required to pay a non-refundable application fee of Tsh. 20,000/- and Certificate programmes are required to pay a non-refundable application fee of 15,000/. The payments are to be paid instantly through the People Bank of Zanzibar (PBZ) Limited, University’s account number 021103000490, swift code: PBZA TZ  and the original slip to be presented to the bursar’s office – SUZA for the issuance of official receipt and application forms.
11.3     Form VI leavers who are waiting for their National Examination results,
            once their A Level results are released, they are advised to apply directly
to the University i.e. they should fill the forms and return them to the
University -SUZA. Also Equivalent applicants (applicants with Diplomas)
are invited to apply directly to the University

12.0    Closing Date
12.1    The closing date for receiving the application forms is Friday 6th June,
2011. Late applications will not be considered.

13.0     Caution
13.1     Submission of forged certificates/testimonials or any other false information is unlawful and will be handled according to the law.

13.2     Candidates must apply in response to this advertisement.

13.0       All enquiries about admission should be addressed to:

The Admissions Office
The State University of Zanzibar
P. O. Box 146
              Zanzibar, Tanzania

Tel: +255 223 0724/2233337
Fax: +255 223 3337

Friday, April 8, 2011

Ruto, Kosgey, Sang come face to face with The Hague

By ERIC SHIMOLI THE HAGUE, NETHERLANDS eshimoli@ke.nationmedia.com

Posted  Thursday, April 7 2011 at 22:00

Eldoret North MP William Ruto (left, back row), Tinderet MP Henry Kosgey (centre, back row) and radio presenter Joshua Arap Sang (right, back row), three Kenyans being charged in connection with post-election violence in 2007-2008, during their hearing on April 7, 2011 at the International Criminal Court (ICC) at the Hague. Photo/AFP
The first Kenyans to ever face accusations before an international criminal court took to the stands on Thursday in a preliminary appearance over events stemming from the 2008 post election violence. Suspended Cabinet minister William Ruto, former Industrialization minister Henry Kosgey and broadcaster Joshua Sang were separately asked to confirm their identities, whether their rights had been explained to them sufficiently and if they had been informed of allegations against them, get the full  story on: