In order to view this object you need Flash Player 9+ support!

Get Adobe Flash player


Utamu wa Shule, Ladha ya Degree.
Vyuoni Tanzania Blog is an open discussion blog. This blog is NOT owned, affiliated or operated by Tanzania Commission For Universities.

Itangaze Blog Hii Kupitia

Twitter Delicious Facebook Digg Stumbleupon

Friday, March 25, 2011

UBATIZO WA MKOMBOZI..!

Mkombozi akiwa ameshikiliwa na Baba yake wa Ubatizo ambaye ni baba yake mkubwa Mr. Salvatory Kisuda  mbele ya Paroko kwa ajili ya tukiomuhimu maishani mwake kiimani.



Baada ya Batizo mambo yakawa shwari kama hivi na Usingizi kushney....




  "eti wamekulowesha na maji kichwani Baba? wee waache tuu....."



Wadau hawakupitwa na tukio mwanzomwisho, baada ya kanisani; mambo yakawa tujimwage kuufinya.... 



Ikawa ni mtu na mzazi wake full mdundo  na kukumbushana  ubaridi wa maji ya kanisani...!

Kuna Maoni 0 mpaka sasa.

Toa Maoni Yako Kwa Uhuru